Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:51, 52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Yosefu alimwita mzaliwa wa kwanza Manase,*+ kwa maana alisema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.” 52 Akamwita yule wa pili Efraimu,*+ kwa maana alisema, “Mungu ameniwezesha kuzaa watoto katika nchi ya mateso yangu.”+

  • Mambo ya Walawi 26:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Nitawabariki* na kuwafanya mzaane na kuongezeka,+ nami nitatimiza agano nililofanya pamoja nanyi.+

  • Ayubu 42:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, Yehova alibariki sehemu ya mwisho ya maisha ya Ayubu kuliko ya kwanza,+ na Ayubu akawa na kondoo 14,000, ngamia 6,000, ng’ombe 2,000,* na punda jike 1,000.+ 13 Akapata pia wana wengine saba na mabinti wengine watatu.+

  • Zaburi 128:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mke wako atakuwa kama mzabibu unaozaa matunda mengi nyumbani mwako;+

      Watoto wako watakuwa kama machipukizi ya mzeituni kuzunguka meza yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki