51 Yosefu alimwita mzaliwa wa kwanza Manase,*+ kwa maana alisema, “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote na nyumba yote ya baba yangu.” 52 Akamwita yule wa pili Efraimu,*+ kwa maana alisema, “Mungu ameniwezesha kuzaa watoto katika nchi ya mateso yangu.”+
12 Kwa hiyo, Yehova alibariki sehemu ya mwisho ya maisha ya Ayubu kuliko ya kwanza,+ na Ayubu akawa na kondoo 14,000, ngamia 6,000, ng’ombe 2,000,* na punda jike 1,000.+13 Akapata pia wana wengine saba na mabinti wengine watatu.+