Ayubu 1:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi aliyeitwa Ayubu.*+ Alikuwa mtu mnyoofu na mtimilifu;*+ alimwogopa Mungu na kuepuka uovu.+ 2 Alikuwa na wana saba na mabinti watatu.
1 Palikuwa na mtu katika nchi ya Usi aliyeitwa Ayubu.*+ Alikuwa mtu mnyoofu na mtimilifu;*+ alimwogopa Mungu na kuepuka uovu.+ 2 Alikuwa na wana saba na mabinti watatu.