3 Yehova akamwambia Shetani: “Je, umemwona mtumishi wangu Ayubu? Hakuna yeyote aliye kama yeye duniani. Yeye ni mtu mnyoofu na mtimilifu,+ anayemwogopa Mungu na kuepuka uovu. Bado anashika kabisa utimilifu+ wake, hata ingawa unajaribu kunichochea dhidi yake+ ili nimwangamize bila sababu.”