Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 3:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Laana ya Yehova iko juu ya nyumba ya mwovu,+

      Lakini huyabariki makao ya mwadilifu.+

  • Methali 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baraka ya Yehova ndiyo inayomtajirisha mtu,+

      Naye haichanganyi na maumivu.*

  • Waebrania 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Isitoshe, bila imani haiwezekani kumpendeza Mungu vema, kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kuwa yuko* na kwamba yeye huwa mthawabishaji wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+

  • Yakobo 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tazama! Tunawaona wale ambao wamevumilia kuwa wenye furaha.*+ Mmesikia kuhusu uvumilivu wa Ayubu+ na mmeona matokeo ambayo Yehova* alileta,+ kwamba Yehova* ni mwenye upendo mwororo sana* na mwenye rehema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki