20 Ndipo Ayubu akasimama, akararua vazi lake na kunyoa nywele za kichwa chake; kisha akaanguka chini, akainama 21 na kusema:
“Nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,
Nami nitarudi nikiwa uchi.+
Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.
Jina la Yehova na liendelee kusifiwa.”