Mwanzo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+ Zaburi 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana akifa hawezi kwenda na kitu chochote;+Fahari yake haitashuka shimoni pamoja naye.+ Mhubiri 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama mtu alivyotoka katika tumbo la mama yake akiwa uchi, ndivyo atakavyoenda, kama alivyokuja.+ Naye hawezi kwenda na chochote alichopata kutokana na kazi yake yote ngumu.+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+ 1 Timotheo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hatukuleta chochote ulimwenguni, wala hatuwezi kuondoka na chochote.+
19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
15 Kama mtu alivyotoka katika tumbo la mama yake akiwa uchi, ndivyo atakavyoenda, kama alivyokuja.+ Naye hawezi kwenda na chochote alichopata kutokana na kazi yake yote ngumu.+
7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+