Zaburi 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana akifa hawezi kwenda na kitu chochote;+Fahari yake haitashuka shimoni pamoja naye.+ Luka 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+ 1 Timotheo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana hatukuleta chochote ulimwenguni, wala hatuwezi kuondoka na chochote.+
20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe mpumbavu, usiku huu wanautaka uhai wako.* Basi, vitu ulivyohifadhi vitakuwa vya nani?’+