Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 na kusema:

      “Nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,

      Nami nitarudi nikiwa uchi.+

      Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua.

      Jina la Yehova na liendelee kusifiwa.”

  • Mhubiri 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama mtu alivyotoka katika tumbo la mama yake akiwa uchi, ndivyo atakavyoenda, kama alivyokuja.+ Naye hawezi kwenda na chochote alichopata kutokana na kazi yake yote ngumu.+

  • 1 Timotheo 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Waagize* wale walio matajiri katika mfumo wa mambo* wa sasa wasijivune* wala wasiutumaini utajiri usiotegemeka,+ bali wamtumaini Mungu, ambaye hutupatia kwa wingi vitu vyote tunavyofurahia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki