Ayubu 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na kusema: “Nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,Nami nitarudi nikiwa uchi.+ Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua. Jina la Yehova na liendelee kusifiwa.” Zaburi 49:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Usiogope mtu anapotajirika,Fahari ya nyumba yake ikiongezeka,17 Kwa maana akifa hawezi kwenda na kitu chochote;+Fahari yake haitashuka shimoni pamoja naye.+
21 na kusema: “Nilitoka tumboni mwa mama yangu nikiwa uchi,Nami nitarudi nikiwa uchi.+ Yehova ametoa,+ na Yehova amechukua. Jina la Yehova na liendelee kusifiwa.”
16 Usiogope mtu anapotajirika,Fahari ya nyumba yake ikiongezeka,17 Kwa maana akifa hawezi kwenda na kitu chochote;+Fahari yake haitashuka shimoni pamoja naye.+