Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanahangaika. Ukiiondoa roho yao, wanakufa na kurudi mavumbini.+ Mhubiri 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wote wanaenda mahali palepale.+ Wote wanatoka mavumbini,+ na wote wanarudi mavumbini.+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+
7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+