19 Sasa Yehova Mungu aliumba kutoka mavumbini kila mnyama wa mwituni na kila kiumbe anayeruka angani, naye akaanza kuwaleta kwa mtu huyo ili aamue jina atakalompa kila kiumbe; na jina lolote ambalo mtu huyo alimpa kila kiumbe aliye hai, likawa jina lake.+