Zaburi 58:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+ Mathayo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+ Mathayo 6:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+
11 Kisha watu watasema: “Kwa hakika kuna thawabu kwa ajili ya mwadilifu.+ Kwa hakika kuna Mungu anayehukumu duniani.”+
3 Mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole* wa dunia,Mnaoshika amri zake za uadilifu.* Utafuteni uadilifu, utafuteni upole.* Huenda* mtafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
12 Furahini na kushangilia sana,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni, kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwapo kabla yenu.+
33 “Basi, endeleeni kuutafuta kwanza Ufalme na uadilifu wake,* nanyi mtaongezewa hivi vitu vingine vyote.+