Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Siku hiyohiyo, Noa aliingia ndani ya safina pamoja na wanawe, Shemu, Hamu, na Yafethi,+ pamoja na mke wake na wake watatu wa wanawe.+

  • Mwanzo 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi wakaingia ndani, dume na jike, viumbe wa kila aina, kama Mungu alivyokuwa amemwamuru. Baada ya hayo Yehova akaufunga mlango.

  • Isaya 26:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nendeni, watu wangu, ingieni katika vyumba vyenu vya ndani,

      Na mfunge milango nyuma yenu.+

      Jificheni kwa muda mfupi

      Mpaka ghadhabu* itakapopita.+

  • Yoeli 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+

      Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.

  • Yoeli 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ni nani ajuaye ikiwa hatabadili nia na kuufikiria upya*+

      Na kuwaachia baraka,

      Ili mweze kumtolea Yehova Mungu wenu toleo la nafaka na toleo la kinywaji?

  • Amosi 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Chukieni maovu, pendeni yaliyo mema,+

      Acheni haki itawale kwenye lango la jiji.+

      Huenda Yehova Mungu wa majeshi

      Atawaonyesha kibali wazao waliobaki wa Yosefu.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki