14 “Enyi Waisraeli, mrudieni Yehova Mungu wenu,+
Kwa maana mmejikwaa kwa sababu ya kosa lenu.
2 Mrudieni Yehova kwa maneno haya,
Mwambieni, ‘Tusamehe kosa letu+ na ukubali yaliyo mema,
Nasi tutatoa sifa ya midomo yetu+ kama vile ambavyo tungetoa ng’ombe dume wachanga.