Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Rudini kwa Yule ambaye mmemwasi bila aibu, enyi watu wa Israeli.+

  • Hosea 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Enyi Waisraeli, mrudieni Yehova Mungu wenu,+

      Kwa maana mmejikwaa kwa sababu ya kosa lenu.

  • Yoeli 2:12, 13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+

      Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.

      13 Irarueni mioyo yenu,+ wala si mavazi yenu,+

      Nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu,

      Kwa maana ni mwenye huruma* na rehema, si mwepesi wa hasira,+ naye ana upendo mwingi mshikamanifu,+

      Naye atafikiria upya* msiba aliokusudia kuleta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki