Isaya 55:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+ Yoeli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.
7 Mtu mwovu na aiache njia yake+Na mtu mbaya mawazo yake;Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+
12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.