1 Samweli 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi wakakusanyika pamoja huko Mispa, nao wakachota maji na kuyamwaga mbele za Yehova na kufunga siku hiyo.+ Wakiwa huko wakasema: “Tumemtendea dhambi Yehova.”+ Naye Samweli akaanza kutumikia akiwa mwamuzi+ wa Waisraeli huko Mispa. 2 Mambo ya Nyakati 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Yehoshafati akaogopa, akaazimia* kumtafuta Yehova.+ Basi akatangaza watu wote wa Yuda wafunge.
6 Basi wakakusanyika pamoja huko Mispa, nao wakachota maji na kuyamwaga mbele za Yehova na kufunga siku hiyo.+ Wakiwa huko wakasema: “Tumemtendea dhambi Yehova.”+ Naye Samweli akaanza kutumikia akiwa mwamuzi+ wa Waisraeli huko Mispa.
3 Ndipo Yehoshafati akaogopa, akaazimia* kumtafuta Yehova.+ Basi akatangaza watu wote wa Yuda wafunge.