2 Mambo ya Nyakati 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo Yehoshafati akaogopa, akaazimia* kumtafuta Yehova.+ Basi akatangaza watu wote wa Yuda wafunge. Nehemia 9:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Siku ya 24 ya mwezi huo, Waisraeli wakakusanyika; walikuwa wamefunga wakiwa wamevaa nguo za magunia na kujirushia mavumbi.+ Yoeli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.
3 Ndipo Yehoshafati akaogopa, akaazimia* kumtafuta Yehova.+ Basi akatangaza watu wote wa Yuda wafunge.
9 Siku ya 24 ya mwezi huo, Waisraeli wakakusanyika; walikuwa wamefunga wakiwa wamevaa nguo za magunia na kujirushia mavumbi.+
12 “Hata sasa,” asema Yehova, “rudini kwangu kwa mioyo yenu yote,+Kwa kufunga+ na kulia na kuomboleza.