Kumbukumbu la Torati 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Haki—mnapaswa kufuatia haki,+ ili mwendelee kuishi na kumiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi. Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+
20 Haki—mnapaswa kufuatia haki,+ ili mwendelee kuishi na kumiliki nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa ninyi.
8 Ee mwanadamu, amekuambia yaliyo mema. Na Yehova anataka* nini kutoka kwako? Anataka tu utekeleze haki,*+ uthamini sana ushikamanifu,*+Na utembee kwa kiasi+ na Mungu wako!+