-
Kumbukumbu la Torati 10:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 “Sasa, enyi Waisraeli, Yehova Mungu wenu anataka mfanye nini?+ Hili tu ndilo analotaka: mmwogope Yehova Mungu wenu,+ mtembee katika njia zake zote,+ mumpende, na kumtumikia Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+ 13 na kushika amri na sheria za Yehova ninazowaamuru leo kwa faida yenu wenyewe.+
-