Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kutenda mambo manyoofu na ya haki

      Humpendeza Yehova zaidi kuliko dhabihu.+

  • Isaya 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Jifunzeni kutenda mema, tafuteni haki,+

      Mrekebisheni mkandamizaji,

      Teteeni haki za yatima,

      Nanyi mteteeni mjane.”+

  • Yeremia 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova anasema hivi: “Tekelezeni haki na uadilifu. Na mtu anayenyang’anywa, mwokoeni kutoka mikononi mwa mtu laghai. Msimtese mkaaji yeyote mgeni, na msimdhuru yatima yeyote au mjane.+ Nanyi msimwage damu yoyote isiyo na hatia mahali hapa.+

  • Ezekieli 45:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Imetosha, enyi viongozi wa Israeli!’

      “‘Acheni ukatili na ukandamizaji, na mtende mambo ya haki na ya uadilifu.+ Acheni kuchukua kwa nguvu mali ya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

  • Hosea 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 “Basi mrudieni Mungu wenu,+

      Dumisheni upendo mshikamanifu na haki,+

      Na sikuzote mumtumaini Mungu wenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki