Ezekieli 45:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Imetosha, enyi wakuu wa Israeli!’+ “ ‘Ondoeni jeuri na uporaji,+ na mfanye haki na uadilifu.+ Acheni kutumia uwezo vibaya kuchukua vitu vya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
9 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Imetosha, enyi wakuu wa Israeli!’+ “ ‘Ondoeni jeuri na uporaji,+ na mfanye haki na uadilifu.+ Acheni kutumia uwezo vibaya kuchukua vitu vya watu wangu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.