Nehemia 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na pia mimi, ndugu zangu na watumishi wangu tunatoa pesa na nafaka kwa mkopo kati yao. Tafadhali, tuache kukopesha kwa faida.+ Zaburi 82:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mtaendelea kuhukumu bila haki mpaka wakati gani+Na kuonyesha ubaguzi kwa waovu?+ Sela. Isaya 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+
10 Na pia mimi, ndugu zangu na watumishi wangu tunatoa pesa na nafaka kwa mkopo kati yao. Tafadhali, tuache kukopesha kwa faida.+
17 Jifunzeni kutenda mema;+ tafuteni haki;+ mrekebisheni mkandamizaji;+ fanyeni hukumu kwa ajili ya mvulana asiye na baba;+ teteeni masilahi ya mjane.”+