7 Kwa hiyo moyo wangu ukatafakari ndani yangu, nami nikaanza kuwalaumu+ watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi, na kuwaambia: “Mnatoza riba,+ kila mmoja kutoka kwa ndugu yake mwenyewe.”
8 naye hakuwa akitoa chochote apate faida+ wala hakuwa akichukua riba yoyote;+ naye alikuwa akiuepusha mkono wake na ukosefu wa haki;+ naye alikuwa akiitenda haki ya kweli kati ya mtu na mwenzake;+
13 Ametoa kwa riba,+ na amechukua faida,+ naye hakika hataendelea kuishi. Ameyafanya machukizo hayo yote.+ Hakika atauawa. Damu yake mwenyewe itakuwa juu yake.+