Mambo ya Walawi 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji. Kumbukumbu la Torati 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo haya, kila anayefanya ukosefu wa haki, ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+
35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji.
16 Kwa maana kila mtu anayefanya mambo haya, kila anayefanya ukosefu wa haki, ni chukizo kwa Yehova Mungu wako.+