Mambo ya Walawi 19:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji. Waroma 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, tuseme nini? Je, Mungu ana ukosefu wa haki?+ Isiwe hivyo kamwe!
35 “‘Msikose kufanya haki katika kuhukumu,+ katika kupima, katika kupima uzito+ au katika kupima vitu vya majimaji.