Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Ikiwa kutakuwa na mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ lazima auawe.+ Ni baba yake na mama yake ambao amewalaani. Damu yake mwenyewe iko juu yake.+

  • Mambo ya Walawi 20:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “‘Naye mwanamume au mwanamke atakayekuwa na roho ya kuwasiliana na pepo au roho ya kubashiri,+ lazima wauawe.+ Watawapiga hao kwa mawe na kuwaua. Damu yao wenyewe iko juu yao.’”+

  • Ezekieli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mimi ninapomwambia mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’+ na wewe usimwonye na kusema ili kumwonya mwovu aiache njia yake ya uovu ili kumhifadhi hai,+ yeye akiwa ni mwovu, katika kosa lake atakufa,+ lakini damu yake nitaidai kutoka katika mkono wako mwenyewe.+

  • Ezekieli 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na msikiaji kwa kweli asikie sauti ya baragumu lakini asitii onyo hata kidogo,+ nao upanga uje na kumchukua, damu yake mwenyewe itakuwa juu ya kichwa chake.+

  • Matendo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki