Methali 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+ Ezekieli 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na msikiaji kwa kweli asikie sauti ya baragumu lakini asitii onyo hata kidogo,+ nao upanga uje na kumchukua, damu yake mwenyewe itakuwa juu ya kichwa chake.+ Waroma 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+
32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+
4 na msikiaji kwa kweli asikie sauti ya baragumu lakini asitii onyo hata kidogo,+ nao upanga uje na kumchukua, damu yake mwenyewe itakuwa juu ya kichwa chake.+
23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+