Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 14:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa sababu ya ubaya wake mwovu atasukumwa chini,+ lakini mwadilifu atakuwa akipata kimbilio katika utimilifu wake.+

  • Ezekieli 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na msikiaji kwa kweli asikie sauti ya baragumu lakini asitii onyo hata kidogo,+ nao upanga uje na kumchukua, damu yake mwenyewe itakuwa juu ya kichwa chake.+

  • Waroma 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana mshahara ambao dhambi hulipa ni kifo,+ lakini zawadi+ ambayo Mungu hutoa ni uzima wa milele+ kupitia Kristo Yesu Bwana wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki