Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 27:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+

      Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe.

  • Ayubu 27:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Vitisho vya ghafula vitampita kama maji;+

      Upepo wa dhoruba utamwiba usiku.

  • Zaburi 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana waovu wataangamia,+

      Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;

      Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+

  • 1 Wathesalonike 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki