Ayubu 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe. Ayubu 27:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Vitisho vya ghafula vitampita kama maji;+Upepo wa dhoruba utamwiba usiku. Zaburi 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+ 1 Wathesalonike 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+
13 Hilo ndilo fungu la mtu mwovu kutoka kwa Mungu;+Na urithi wa waonevu watapokea kutoka kwa Mweza-Yote mwenyewe.
20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+
3 Wakati watakapokuwa wakisema:+ “Amani+ na usalama!” ndipo uharibifu+ wa ghafula utakapokuwa juu yao mara moja kama vile maumivu ya taabu juu ya mwanamke mwenye mimba;+ nao hawataponyoka hata kidogo.+