5 Na, tena, damu ya nafsi zenu nitaitaka. Kwa mkono wa kila kiumbe kilicho hai nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa kila mmoja ambaye ni ndugu yake, nitaitaka nafsi ya mwanadamu.+
8 Mimi ninapomwambia mtu mwovu, ‘Wewe mwovu, hakika utakufa!’+ lakini kwa kweli wewe usiseme ili kumwonya mwovu aiache njia yake,+ yeye mwenyewe kwa kuwa ni mwovu atakufa katika kosa lake,+ lakini damu yake nitaidai katika mkono wako.