Hesabu 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Baba yetu alikufa nyikani,+ wala hakuwa katikati ya lile kusanyiko, yaani, wale waliojipanga dhidi ya Yehova katika kusanyiko la Kora,+ bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe;+ naye hakuwa na wana wowote wa kiume. Methali 11:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+ Mhubiri 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+
3 “Baba yetu alikufa nyikani,+ wala hakuwa katikati ya lile kusanyiko, yaani, wale waliojipanga dhidi ya Yehova katika kusanyiko la Kora,+ bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe;+ naye hakuwa na wana wowote wa kiume.
21 Mkono ujaposhikana na mkono, mtu mbaya hatakosa kupewa adhabu;+ lakini uzao wa waadilifu hakika utaponyoka.+
13 Lakini mambo hayatakuwa mema kwa mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.+