Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 24:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wamekuwa huko juu kwa muda kidogo, kisha hawako tena,+

      Nao wameshushwa chini;+ wanang’olewa kama kila mtu mwingine,

      Na kama suke la nafaka wanakatwa.

  • Mhubiri 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana ni nani anayejua mwanadamu anapata mema gani maishani+ kwa hesabu ya siku za maisha yake ya ubatili, anapozitumia kama kivuli?+ Kwa maana ni nani anayeweza kumwambia mwanadamu litakalotokea baada yake chini ya jua?+

  • Luka 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Mungu akamwambia, ‘Wewe usiye na akili, usiku huu wanadai nafsi yako kutoka kwako.+ Basi, vitu ulivyoviweka akiba vitakuwa vya nani?’+

  • Yakobo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+

  • 2 Petro 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki