Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na bado muda kidogo tu, na mtu mwovu hatakuwako tena;+

      Nawe hakika utapaangalia mahali pake, naye hatakuwapo.+

  • Zaburi 92:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wakati waovu wanapochipuka kama majani+

      Na wote wanaotenda mambo yenye kuumiza wanapochanuka,

      Ni ili wao wapate kuangamizwa milele.+

  • Mhubiri 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ijapokuwa huenda mtenda-dhambi akawa anatenda yaliyo mabaya+ mara mia moja na kuendelea kwa muda mrefu anavyopenda, ninajua pia kwamba mambo yatawaendea vyema wale wanaomwogopa Mungu+ wa kweli, kwa sababu walimwogopa.+

  • Yakobo 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki