1 Samweli 25:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Na ikawa kwamba asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mke wake akamwambia mambo hayo yote. Na moyo+ wa mwanamume huyo ukafa ndani yake, naye akawa kama jiwe. Zaburi 37:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Lakini wakosaji hakika wataangamizwa pamoja;+Wakati ujao wa watu waovu hakika utakatiliwa mbali.+
37 Na ikawa kwamba asubuhi, divai ilipokuwa imemtoka Nabali, mke wake akamwambia mambo hayo yote. Na moyo+ wa mwanamume huyo ukafa ndani yake, naye akawa kama jiwe.