Zaburi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Waovu hawako hivyo,Bali wako kama makapi ambayo upepo hupeperusha.+ Zaburi 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Watu waovu+ watarudi katika Kaburi,*+Naam, mataifa yote yanayomsahau Mungu.+ Zaburi 52:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela. Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+
5 Mungu mwenyewe pia atakubomoa milele;+Atakupiga na kukuangusha na kukurarua kutoka katika hema lako,+Naye atakung’oa kutoka katika nchi ya walio hai.+ Sela.