Zaburi 50:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+ Isaya 34:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+ Yeremia 10:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+
22 Tafadhali, enyi mnaomsahau Mungu eleweni hili,+Nisije nikawararua vipande-vipande bila ya kuwa na mkombozi.+
2 Kwa maana Yehova ana hasira juu ya mataifa yote,+ na ghadhabu juu ya jeshi lao lote.+ Yeye atawaangamiza; atawatoa wauawe.+
25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+