Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ila tu hizo ndizo maskani za mkosaji,

      Na hapa ndipo mahali pa mtu ambaye hajamjua Mungu.”

  • 1 Wathesalonike 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 si katika hamu yenye tamaa ya ngono+ kama ile waliyo nayo pia mataifa+ wale wasiomjua Mungu;+

  • 2 Wathesalonike 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+

  • Ufunuo 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nikasikia sauti+ kubwa kutoka katika patakatifu ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira+ ya Mungu ndani ya dunia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki