10 si kumaanisha kabisa na waasherati+ wa ulimwengu+ huu au watu wenye pupa na wanyang’anyi au waabudu-sanamu. Ikiwa hivyo, kwa kweli ingewabidi mwondoke katika ulimwengu.+
17 Kwa hiyo, nasema hili na kulitolea ushahidi katika Bwana, kwamba msiendelee tena kutembea kama vile mataifa+ wanavyotembea pia katika ubatili wa akili+ zao,