Isaya 66:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kuna sauti ya ghasia kutoka jijini, sauti kutoka hekaluni!+ Ni sauti ya Yehova akiwalipa adui zake yale yanayostahiliwa.+ Ufunuo 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na yule wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa.+ Ndipo sauti+ kubwa ikatokea katika patakatifu kutoka katika kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imekuwa!”
6 Kuna sauti ya ghasia kutoka jijini, sauti kutoka hekaluni!+ Ni sauti ya Yehova akiwalipa adui zake yale yanayostahiliwa.+
17 Na yule wa saba akamwaga bakuli lake juu ya hewa.+ Ndipo sauti+ kubwa ikatokea katika patakatifu kutoka katika kile kiti cha ufalme, ikisema: “Imekuwa!”