Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.

  • Yoeli 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mataifa na yaamshwe, yaje kwenye bonde la Yehoshafati;+ kwa maana hapo nitaketi ili kuhukumu mataifa yote yanayozunguka pande zote.+

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’+ asema Yehova, ‘mpaka siku nitakaposimama kwenda kuteka nyara,+ kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kukusanya mataifa,+ nizikusanye falme pamoja, ili nizimwagie shutuma yangu,+ hasira yangu yote yenye kuwaka; kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

  • Zekaria 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na Yehova ataenda na kupiga vita juu ya mataifa+ hayo kama katika siku yake ya vita, katika siku ya pigano.+

  • Waroma 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana ghadhabu+ ya Mungu inafunuliwa kutoka mbinguni juu ya watu wote wasiomwogopa Mungu na wasio waadilifu+ ambao wanaikandamiza kweli+ katika njia isiyo ya uadilifu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki