Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 27:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+

      Naam, mtumaini Yehova.+

  • Zaburi 37:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mtumaini Yehova na kuishika njia yake,+

      Naye atakuinua uimiliki dunia.+

      Watu waovu watakapokatiliwa mbali, wewe utaona hilo.+

  • Zaburi 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Kwa kweli nafsi yangu inamngojea Mungu kwa kimya.+

      Wokovu wangu unatoka kwake.+

  • Zaburi 130:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Israeli na aendelee kumngojea Yehova.+

      Kwa maana kuna fadhili zenye upendo kwa Yehova,+

      Na ndivyo kulivyo na ukombozi mwingi kwake.+

  • Methali 20:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Usiseme: “Nitalipiza uovu!”+  Mtumaini Yehova,+ naye atakuokoa.+

  • Isaya 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa hiyo Yehova ataendelea kutarajia kuwaonyesha ninyi kibali,+ na kwa hiyo atasimama ili kuwaonyesha ninyi rehema.+ Kwa maana Yehova ni Mungu wa hukumu.+ Wenye furaha+ ni wale wote wanaoendelea kumtarajia.+

  • Yakobo 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi, onyesheni subira, akina ndugu, mpaka kuwapo+ kwa Bwana. Tazama! Mkulima huendelea kungojea matunda yenye thamani ya nchi, anayasubiri mpaka apate mvua ya mapema na mvua ya baadaye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki