Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+ uwe hodari na moyo wako uwe na nguvu.+Naam, mtumaini Yehova.+ Methali 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lainisha mapito ya mguu wako,+ nazo njia zako zote na zifanywe imara.+ Methali 20:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Usiseme: “Nitalipiza uovu!”+ Mtumaini Yehova,+ naye atakuokoa.+