Waefeso 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima, Waebrania 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+
15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima,
12 Kwa hiyo, basi, kwa sababu tuna wingu kubwa hivyo la mashahidi+ linalotuzunguka, acheni sisi pia tuondoe kila uzito+ na dhambi ambayo hututatanisha kwa urahisi,+ na acheni tukimbie kwa uvumilivu+ shindano la mbio+ lililowekwa mbele yetu,+