1 Wakorintho 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia+ si bila uhakika; jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa;+ Wafilipi 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Akina ndugu, bado mimi mwenyewe sijioni kwamba nimekwisha kulishika hilo; lakini kuna jambo moja kulihusu: Nayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kwenda mbele kuelekea mambo yaliyo mbele,+ 1 Petro 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, ondoeni ubaya+ wote na udanganyifu wote na unafiki na wivu na namna zote za masengenyo,+
26 Kwa hiyo, jinsi ninavyokimbia+ si bila uhakika; jinsi ninavyoelekeza ngumi zangu ni ili nisiwe nikipiga hewa;+
13 Akina ndugu, bado mimi mwenyewe sijioni kwamba nimekwisha kulishika hilo; lakini kuna jambo moja kulihusu: Nayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kwenda mbele kuelekea mambo yaliyo mbele,+