16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+
8 Kwa maana mazoezi ya kimwili ni yenye faida kidogo; lakini ujitoaji-kimungu+ ni wenye faida kwa mambo yote,+ kwa kuwa una ahadi ya uzima wa sasa na ule utakaokuja.+
22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+