3Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari+ kuliko wanyama wote wa mwituni ambao Yehova Mungu alikuwa amewafanya.+ Kwa hiyo akaanza kumwambia mwanamke:+ “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+
19 Kwa maana utii wenu umekuja kujulikana na wote.+ Kwa hiyo nashangilia juu yenu. Lakini nataka ninyi muwe wenye hekima+ kuhusu yaliyo mema, bali wasio na hatia+ kuhusu yaliyo maovu.+