Mwanzo 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Yehova Mungu akaufanya ubavu ambao alikuwa ameuchukua kutoka kwa mwanamume kuwa mwanamke na kumleta kwa huyo mwanamume.+ Hesabu 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwishowe Yehova akafungua kinywa cha punda+ huyo naye akamwambia Balaamu: “Nimekutendea nini hivi kwamba umenipiga mara tatu hizi?”+
22 Na Yehova Mungu akaufanya ubavu ambao alikuwa ameuchukua kutoka kwa mwanamume kuwa mwanamke na kumleta kwa huyo mwanamume.+
28 Mwishowe Yehova akafungua kinywa cha punda+ huyo naye akamwambia Balaamu: “Nimekutendea nini hivi kwamba umenipiga mara tatu hizi?”+