Mathayo 19:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+ 2 Petro 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 lakini akapata karipio kwa ajili ya yeye mwenyewe kuharibu jambo lililokuwa sawa.+ Mnyama wa kubeba mizigo asiye na sauti, akisema kwa sauti ya mtu,+ aliuzuia mwendo wa wazimu wa nabii huyo.+
26 Akiwatazama usoni, Yesu akawaambia: “Kwa wanadamu jambo hilo haliwezekani, lakini kwa Mungu mambo yote yanawezekana.”+
16 lakini akapata karipio kwa ajili ya yeye mwenyewe kuharibu jambo lililokuwa sawa.+ Mnyama wa kubeba mizigo asiye na sauti, akisema kwa sauti ya mtu,+ aliuzuia mwendo wa wazimu wa nabii huyo.+