Methali 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, mtu amepata mke mwema?+ Amepata kitu chema,+ na mtu hupata nia njema kutoka kwa Yehova.+ Methali 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Urithi kutoka kwa akina baba ni nyumba na mali,+ lakini mke mwenye busara hutoka kwa Yehova.+ Marko 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo kile ambacho Mungu ameunganisha mtu yeyote asikitenganishe.”+ 1 Timotheo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Hawa.+