16 pia itatukia kwamba katika siku ambayo atawapa wanawe urithi wa vitu alivyo navyo, hataruhusiwa kumfanya mwana wa yule anayependwa awe mzaliwa wake wa kwanza kwa hasara ya mwana wa yule anayechukiwa, mzaliwa wa kwanza.+
14 Tazama! Hii ndiyo mara ya tatu+ niliyo tayari kuja kwenu, na bado sitakuwa mzigo. Kwa maana ninatafuta, si mali zenu,+ bali ninyi; kwa maana watoto+ hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi wao, bali wazazi kwa ajili ya watoto wao.+