Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 pia itatukia kwamba katika siku ambayo atawapa wanawe urithi wa vitu alivyo navyo, hataruhusiwa kumfanya mwana wa yule anayependwa awe mzaliwa wake wa kwanza kwa hasara ya mwana wa yule anayechukiwa, mzaliwa wa kwanza.+

  • 2 Wakorintho 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Tazama! Hii ndiyo mara ya tatu+ niliyo tayari kuja kwenu, na bado sitakuwa mzigo. Kwa maana ninatafuta, si mali zenu,+ bali ninyi; kwa maana watoto+ hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi wao, bali wazazi kwa ajili ya watoto wao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki